SUKUMA TRIBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • Kabila hili la Wasukuma linapatikana Kanda ya Ziwa, Mkoani Mwanza Nchini Tanzania. Utamaduni wa kilimo cha ujamaa umeenea sana kanda hiyo kama uonavyo hapo. Wananchi wanashirikiana kulima.

Комментарии • 45

  • @JeromeNgale
    @JeromeNgale Час назад

    Zuri sanaaa❤

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 5 месяцев назад +5

    Kama unajua maana ya Luganda nipe like

  • @patrickniggo8082
    @patrickniggo8082 5 лет назад +8

    Nitaendelea kuikumbuka hii iko vizur Sana gonga like kama tupo pamoja 2020

  • @malyelyemalugu5504
    @malyelyemalugu5504 5 месяцев назад +3

    Tulikupenda MUNGU akakupenda zaidi tutakukumbuka daima.mbele yako nyuma yetu ombinya MUNGU akuhifadhi mahali pema peponi. Amina .

  • @lilianelias4137
    @lilianelias4137 4 года назад +7

    Bora Hawa sio wacheza vigodoro kutiharibia maadili...wasukuma mbarikiwe

  • @abbyfartoom
    @abbyfartoom 6 месяцев назад +2

    Jamaa wanapiga kaz duh... Hongera

  • @jamesmshanga1098
    @jamesmshanga1098 4 месяца назад

    Hongereni sana wasukuma Kwa kaz

  • @Tatelopes
    @Tatelopes 7 месяцев назад +2

    2024 I’m here

  • @JiTuKaBheJa
    @JiTuKaBheJa 5 месяцев назад

    Kizi daniels amesample wimbo wake wa marhaba

  • @nkaliedward1065
    @nkaliedward1065 7 лет назад +4

    I love the spirit ..had one natinal service

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 6 лет назад +2

    Apakazi tu ongera sana kabira rangu

  • @OMOLOONYANGO
    @OMOLOONYANGO Год назад

    ❤ A very wonderful way to engage in a task

  • @Trashcom1917
    @Trashcom1917 8 лет назад +4

    Tanzania is a wonderful place :,)

    • @shillahedwinjay677
      @shillahedwinjay677  8 лет назад +1

      You are welcome all the time. We also have tourism sites like Kilimanjaro Mountain, Ngorongoro creator,Serengeti, Manyara, mikumi, Selous National Park. Come and see the beautiful of our country. Peace and Tranquility is our Motto.

  • @joycejonathan7591
    @joycejonathan7591 7 лет назад +6

    Watu na tamaduni zetu bhna

  • @mohamedalhabsi5844
    @mohamedalhabsi5844 6 лет назад +3

    Katika ngoma zenye faida hi niyakwanza

  • @clementmathias9512
    @clementmathias9512 5 лет назад +2

    Ahenaho umunangese gushila nduhu nugunoga abhalimi
    Njemu njemu njemu sosela njemu😆😆😆😆

  • @zamratallly4148
    @zamratallly4148 3 года назад

    Hahahahahaa kazi kweli

  • @bigjohjontell6203
    @bigjohjontell6203 7 лет назад +2

    #Ngosha_KaZ_kAZ

  • @deoijumba8843
    @deoijumba8843 5 лет назад +1

    mhola yaseba

  • @luponejabusunge7609
    @luponejabusunge7609 17 дней назад

    Unapoambiwa msukuma usidhani mchezo mchezo tu.

  • @feisalsalum1258
    @feisalsalum1258 5 лет назад

    Unaweza sema nilahisi lakini nikazi sana ila wanaume na kazi yetu,tulagi milemo

  • @magrethnyange9723
    @magrethnyange9723 9 месяцев назад

    Anayesema maisha magumu huyo ni cha uvivu. mtaji wa kijana ni nguvu na misuli yake

  • @daudm1558
    @daudm1558 7 лет назад +1

    .... mpaka wote wakamilike

  • @einfachkenan896
    @einfachkenan896 6 лет назад

    😍❤

  • @brunolucas4034
    @brunolucas4034 5 лет назад

    Kaji bhanamalaaaaa

  • @daudm1558
    @daudm1558 7 лет назад +1

    wakimaliza wanaenda Kwa mwingine kumlimia

  • @laurentnkanga9944
    @laurentnkanga9944 6 лет назад

    Aisee mlishoot wapi hiyo? Natamani nikafanye Documentary kabisa

  • @wendomlahagwaolema6063
    @wendomlahagwaolema6063 2 года назад

    Wakitoka hapo mlima wa ugali ni wa nguvu. Chezea Sukuma wewe

  • @felisterlutambi9064
    @felisterlutambi9064 6 лет назад

    Unaanzaje kuchoka kwa mfano .

  • @Allyahmed40
    @Allyahmed40 7 лет назад

    Peleka studio hizo video ili zikafanziwe editing...

  • @isackpius7287
    @isackpius7287 6 лет назад +1

    i

    • @josephjames7373
      @josephjames7373 6 лет назад

      Eeeee hapo sasa

    • @mbalunyankale3054
      @mbalunyankale3054 6 лет назад

      Isack Pius anaitwa ombinya
      Wambinya Enzo make kwa sasa ni kwenye kit kijiji cha lain huko simiyu